Baada ya hapo awali wanasayansi walikuwa na hofu kubwa na kubashiri hali ingelirejea kuwa ya kawaida. Ungana na mwandishi wetu akikuletea hali ilivyokuwa nchini China na idadi ya kubwa ya maambukizi yalijitokeza huku mamlaka husika zikieleza hatua za kuongeza uwezo wa hospitali na huduma za dharura kukabiliana na janga hilo. Lakini hata hivyo mamlaka husika zilieleza kuwa hakuna takwimu rasmi za maambukizi hayo. Endelea kusikiliza ...
WHO yaeleza wasiwasi wake juu ya mlipuko mpya wa COVID
Maambukizi yaongezeka nchini China huku Shirika la Afya Duniani, WHO, likieleza wasiwasi juu ya ongezeko hilo jipya la maambukizi. China Virusi vya Omicron vilijitokeza mwishoni mwa mwaka 2021 huku vikiwa na uwezo wa kuambukiza tena watu na vilikuja na rekodi za kesi za Covid ambazo zilifuatia.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC