Watu 29 wamejeruhiwa katika shambulizi kwenye kituo cha treni New York
Kulingana na maafisa wa jiji la New York mtu mwenye silaha aliyejifunika uso kuzuia moshi wa gesi ya kutoa machozi alifyatua risasi kwenye kituo cha treni cha Brooklyn cha chini ya ardhi na kusababisha hofu miongoni mwa wakaazi ambao ni abiria waliokuwa wakielekea kwenye shughuli mbalimbali za siku
Matukio
-
Juni 06, 2022
Mahojiano na msemaji wa waasi wa M23 Mj. Willy Ngoma
-
Aprili 13, 2022
Marekani: Wasifu wa Jaji Ketanji na lililopelekea uteuzi wake
-
Desemba 06, 2021
Prof Walter Jaoko asema Omicron sio hatari sana kama Delta