Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 10:36

Watu 29 wamejeruhiwa katika shambulizi kwenye kituo cha treni New York


Watu 29 wamejeruhiwa katika shambulizi kwenye kituo cha treni New York
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:13 0:00

Kulingana na maafisa wa jiji la New York mtu mwenye silaha aliyejifunika uso kuzuia moshi wa gesi ya kutoa machozi alifyatua risasi kwenye kituo cha treni cha Brooklyn cha chini ya ardhi na kusababisha hofu miongoni mwa wakaazi ambao ni abiria waliokuwa wakielekea kwenye shughuli mbalimbali za siku

XS
SM
MD
LG