Maelfu ya wananchi wa Ufilipino wameandamana katika mji mkuu, Manila, baada ya matokeo yasiokuwa rasmi kutoa ushindi kwa mgombea Ferdinand Marcos.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Maelfu ya wananchi wa Ufilipino wameandamana katika mji mkuu, Manila, baada ya matokeo yasiokuwa rasmi kutoa ushindi kwa mgombea Ferdinand Marcos.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari