Wakati huo huo Rais Joe Biden akosoa vikali rasimu hiyo inayozusha mvutano mkubwa hapa nchini kwa wakati huu. Suala hilo linatarajiwa kuwahamasisha wapiga kura.
- Umoja wa Ulaya umependekeza hatua kali zichukuliwe dhidi ya Russia ikiwemo kupiga marufuku ununuzi wa mafuta yake na vikwazo kwa washukiwa wa uhalifu wa kivita.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari