Musk alizindua kura ya maoni ya twitter wiki iliyopita na asilimia 57.5 ya watumiaji wa mtandao huo alipowauliza iwapo anafaa kujiuzulu kuwa mkurugenzi mtendaji walipiga kura ya ndio. Wakosoaji wa Musk wanaeleza kuwa mara nyingi anaongea kabla ya kutafakari. Endelea kusikiliza sakata hili la Twitter na yale ambayo mkurugenzi huyo anapania kuyatekeleza...
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.