Musk alizindua kura ya maoni ya twitter wiki iliyopita na asilimia 57.5 ya watumiaji wa mtandao huo alipowauliza iwapo anafaa kujiuzulu kuwa mkurugenzi mtendaji walipiga kura ya ndio. Wakosoaji wa Musk wanaeleza kuwa mara nyingi anaongea kabla ya kutafakari. Endelea kusikiliza sakata hili la Twitter na yale ambayo mkurugenzi huyo anapania kuyatekeleza...
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto