Musk alizindua kura ya maoni ya twitter wiki iliyopita na asilimia 57.5 ya watumiaji wa mtandao huo alipowauliza iwapo anafaa kujiuzulu kuwa mkurugenzi mtendaji walipiga kura ya ndio. Wakosoaji wa Musk wanaeleza kuwa mara nyingi anaongea kabla ya kutafakari. Endelea kusikiliza sakata hili la Twitter na yale ambayo mkurugenzi huyo anapania kuyatekeleza...
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC