Sherehe za Arbaini ni kuadhimisha mwisho wa siku 40 ya kuomboleza mauaji ya Imam Hussein, mjukuu wa Mtume Mohamed SAW, katika karne ya saba, aliyeuliwa na wapiganaji wa Khalifa Yazid. Hilo ndilo tukio muhimu linalosemekana lilianzisha madhahemu ya kishia katika uislamu.
Waislamu milioni 21 wa madhehebu ya Shia waadhimisha siku ya Arbaini mjini Karbala, Iraq
- Abdushakur Aboud
Mahujaji milioni 21, waislamu wa madhahebu ya kishia, wakiwa wamevaa nguo nyeusi wamekusanyika katika mji wa Karbala nchini Iraq kuadhimisha siku ya Arbaini, wakati nchi hiyo ikikabiliwa na misukosuko ya kisiasa.

1
Mahujaji wa madhehebu ya kishia wakishiriki kwenye kumbukumbu ya Imam Hussein mjuku wa Mtume Mohamed SAW, siku arbaini baada ya kufariki kwaka katika karne ya saba katika mji wa Karbala, Irak

2
Mahujaji wa madhehebu ya kishia wakishiriki kwenye kumbukumbu ya Imam Hussein mjuku wa Mtume Mohamed SAW, siku arbaini baada ya kufariki kwaka katika karne ya saba katika mji wa Karbala, Irak

3
Mahujaji wa madhehebu ya kishia wakishiriki kwenye kumbukumbu ya Imam Hussein mjuku wa Mtume Mohamed SAW, siku arbaini baada ya kufariki kwaka katika karne ya saba katika mji wa Karbala, Irak

4
Mahujaji wakistaghfiru wakati wa sherehe za kumkumbuka Imam Hussien, mjukuu wa Mtume Mohamed SAW, mjini Karbala Irak.