Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 01:42

Wageni watakiwa kuchukua tahadhari Malawi kufuatia mlipuko wa kipindupindu


Wageni watakiwa kuchukua tahadhari Malawi kufuatia mlipuko wa kipindupindu
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:39 0:00

Afisa wa afya Wilaya ya Salima nchini Malawi amewataka watalii wanaotembelea nchi hiyo kuchukua tahadhari kutokana na kuongezeka kwa ugonjwa wa kipindupindu. Amesema kuna watu 764 walioambukizwa na 24 kufariki.

XS
SM
MD
LG