Maafisa wa uchaguzi wanasema kumekuwepo na wapigaji kura wengi walojitokeza katika uchaguzi unaofuatiliwa kwa karibu kupima mfumo wa kidemokrasia wa taifa hilo la Afrika Magharibi.
Wagambia wapiga kura kwenye uchaguzi wa rais
- Abdushakur Aboud
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 27 wananchi wa Gambia washiriki kwenye uchaguzi bila ya hofu kutokana na kutokuwepo na jina la kiongozi wa mabavu Yahya Jammeh.
9
Watu wasubiri kufunguliwa kituo cha kupiga kura katika mtaa wa Manjai Kunda mjini Banjul
10
wanawake wasubiri kupiga kura kwenye uchaguzi wa rais Gambia
11
Ousainou Darobe, kiongozi wa upinzani akiwasili kwenye kituo cha kupiga kura
12
Mfanyakazi wa uchaguzi akihesabu gololi za mgombea kiti cha rais Gambia mjini Serrekunda, Gambia, Dec. 4, 2021
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017