Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 10:59

Wabunge wa Marekani kukabiliwa na tarehe ya mwisho kupitisha mswaada wa matumizi ya serikali


Wabunge wa Marekani kukabiliwa na tarehe ya mwisho kupitisha mswaada wa matumizi ya serikali
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wabunge wa Marekani wiki hii watakabiliwa na tarehe ya mwisho ya kupitisha mswaada wa matumizi ya serikali kuu hadi Septemba mwaka 2023.

Michuano ya Kombe la Dunia imemalizika huko Qatar huku kukiwa na maoni tofauti.kuhusu michezo hiyo ilivyofanyika mwaka 2022.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG