Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 03:12

Waasi wa M23 wauchukua mji muhimu wa Bunagana nchini DRC


Waasi wa M23 wauchukua mji muhimu wa Bunagana nchini DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Waasi wa M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameuchukua mji muhimu wa Bunagana bila ya mapigano baada ya jeshi la Congo kujiondosha katika eneo hilo kwa hiari yao.

Waandamanaji Uingereza waipinga serikali yao kuwahamisha wahamiaji Rwanda.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG