Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 11:52

Waasi wa M23 wasema hawataondoka katika maeneo wanayoyashikilia DRC


Waasi wa M23 wasema hawataondoka katika maeneo wanayoyashikilia DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Waasi wa kundi la M23 nchini DRC wamesema hawataondoka katika maeneo yao baada ya viongozi wa kieneo kuweka muda maalum ifikapo leo jioni kuwataka wasitishe mapigano na kuweka silaha chini.

- Taasisi ya kupambana na rushwa nchini Malawi imesema ijumaa imemkamata makamu wa rais wa nchi hiyo kwa tuhuma za rushwa.

-Michuano ya Kombe la Dunia inaendelea kunoga...

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG