- Taasisi ya kupambana na rushwa nchini Malawi imesema ijumaa imemkamata makamu wa rais wa nchi hiyo kwa tuhuma za rushwa.
-Michuano ya Kombe la Dunia inaendelea kunoga...
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari