Katika kanda ya Sahara vile vile tutakuletea michuano ya kanda ya Nile katika jiji la Cairo Misri kuanzia Aprili 26 hadi Mei 6. Na fainali zitafanyika Kigali, Rwanda kuanzia Mei 21 hadi 27 mwaka huu. Nchi 54 timu 12 lakini mshindi mmoja. Ni michuano ya tatu ya BAL 2023 -Dakar, Cairo na Kigali Usikose kujiunga nasi katika mtandao wetu wa VOASWAHILI.COM
#BAL, #BALonVOA, #NBA, #basketball