- Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekutana na wakaazi wa mji wa kaskazini wa Denain Jumatatu, ambako mpinzani wake wa mrengo wa kulia Marine Le Pen amepata zaidi ya asilimia 41 ya kura.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari