Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Mei 02, 2024 Local time: 00:30

Ukraine yazima mashambulizi kadhaa yaliyofanywa na Russia


Ukraine yazima mashambulizi kadhaa yaliyofanywa na Russia
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wanajeshi wa Ukraine wamezima mashambulizi kadhaa ya Russia upande wa mashariki wa nchi hiyo, shirika la kijasusi la Uingereza limeeleza Jumatatu.

- Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekutana na wakaazi wa mji wa kaskazini wa Denain Jumatatu, ambako mpinzani wake wa mrengo wa kulia Marine Le Pen amepata zaidi ya asilimia 41 ya kura.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG