Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Septemba 29, 2023 Local time: 13:17

Ukosefu wa makazi nafuu Nairobi, wasababisha wananchi wengi kuisi katika hali duni


Ukosefu wa makazi nafuu Nairobi, wasababisha wananchi wengi kuisi katika hali duni
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:45 0:00

Nairobi sawa na miji mingine barani Afrika, inakumbwa na uhaba wa nyumba. Idadi kubwa ya watu wanahamia mijini kutoka mashambani ikifanya hali kuwa mbaya zaidi.

XS
SM
MD
LG