Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Desemba 18, 2025 Local time: 13:24

Ukosefu wa makazi nafuu Nairobi, wasababisha wananchi wengi kuisi katika hali duni


Ukosefu wa makazi nafuu Nairobi, wasababisha wananchi wengi kuisi katika hali duni
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:45 0:00

Nairobi sawa na miji mingine barani Afrika, inakumbwa na uhaba wa nyumba. Idadi kubwa ya watu wanahamia mijini kutoka mashambani ikifanya hali kuwa mbaya zaidi.

Japokuwa serikali tofauti zimekuwa zikiendeleza miradi ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu, walengwa wanaonekana kutofaidika. Ungana na Mwandishi wetu Zainab Said akieleza watu wanavyokabiliwa na tatizo hilo na nini kinachofanywa kulitatua tatizo hilo...

XS
SM
MD
LG