Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 13:47

Ukame: Njaa inaongezeka Pembe ya Afrika huku takriban watoto milioni 1 wakiwa na utapimiamlo


Ukame: Njaa inaongezeka Pembe ya Afrika huku takriban watoto milioni 1 wakiwa na utapimiamlo
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Ukame katika pembe ya Afrika unazidisha njaa kwenye eneo lote ikiwa pamoja na Kenya ambapo mamlaka zinasema takriban watoto milioni 1 wanautapiamlo.

Sherehe zinaendelea Morocco ambapo mashabiki wako mitaani wakifurahia timu yao kufuzu kwenda kwenye 16 bora huko Qatar.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG