Kundi la kigaidi la Islamic State limedai kuhusika na milipuko miwili ya mabomu katika mji mkuu Kampala, yaliyouwa raia wawili, ofisa mmoja wa polisi na kujeruhi watu wengine 33, huku baadhi yao wakiwa mahututi. Kundi la IS limesema lilihusika na mashambulizi hayo mjini Kampala.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.