Kundi la kigaidi la Islamic State limedai kuhusika na milipuko miwili ya mabomu katika mji mkuu Kampala, yaliyouwa raia wawili, ofisa mmoja wa polisi na kujeruhi watu wengine 33, huku baadhi yao wakiwa mahututi. Kundi la IS limesema lilihusika na mashambulizi hayo mjini Kampala.