Uchaguzi unafanyika licha ya kuwepo na mlipuko ya ugonjwa wa Covid 19 na kukiwa na wasi wasi ikiwa utafanyika kwa njia ya huru haki na uwazi. Wapiga kura milioni 5.1 wanatazamiwa kumchagua rais mpya pamoja na wabunge wa bunge la taifa na serikali za mitaa mnamo duru hii ya kwanza.
Matukio
-
Machi 28, 2024
Duniani Leo
-
Machi 27, 2024
Duniani Leo
-
Machi 27, 2024
Upinzani Senegal waonekana kukaribia ushindi
-
Machi 27, 2024
Blnken akutana na Waziri Mkuu wa Israel