Uchaguzi unafanyika licha ya kuwepo na mlipuko ya ugonjwa wa Covid 19 na kukiwa na wasi wasi ikiwa utafanyika kwa njia ya huru haki na uwazi. Wapiga kura milioni 5.1 wanatazamiwa kumchagua rais mpya pamoja na wabunge wa bunge la taifa na serikali za mitaa mnamo duru hii ya kwanza.
Matukio
-
Aprili 19, 2024
Duniani Leo
-
Aprili 19, 2024
Kamshina wa UN atembelea kambi za watu waliokoseshwa makazi DRC
-
Aprili 19, 2024
Helikopta ya Jeshi la Kenya yaanguka ikiwa na abiria tisa
-
Aprili 12, 2024
Duniani Leo