Uchaguzi Mkuu wa Urais Kenya: Hali ilivyokuwa katika vituo vya kupiga kura
- Abdushakur Aboud
1
Wananchi wakisubiri kupiga kura, katika kituo cha Westland, Nairobi.
2
Maafisa wa vituo vya kupiga kura wakijiandaa kabla ya zoezi la kupiga kura kuanza Jumanne, katika shule ya msingi ya Westland, Nairobi, Kenya.
3
Masanduku ya kupiga kura yakiwa tayari katika kituo cha kupiga kura katika kituo cha Westland Nairobi, Kenya.
4
Wananchi wa Kenya wakisubiri kupiga kura katika uchaguzi mkuu mjini Nairobi, Kenya 2022.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017