Las Vegas ni mji wa kitalii ulioko katika jimbo la Nevada, Marekani. Shambulizi hilo limetokea wakati wa tamasha la muziki katika hoteli ya Mandalay Bay Casino.
Zaid ya watu 58 wauliwa katika shambulizi la Las Vegas
Watu 58 wauwawa na zaidi ya 500 wajeruhiwa katika shambulizi la bunduki Jumapili huko Las Vegas, Marekani.
1
Mwanaume akiwa amemlalia mwanamke kumkinga na risasi wakati watu wengine wakikimbia kutoka katika tukio la shambulizi la risasi huko Las Vegas, Nevada
2
Watu wakikimbia katika eneo la tukio la shambulizi la Risasi wakati sauti za risasi zikirindima Oct1, 2017 in Las Vegas, Nevada.
3
Watu wakikimbia kutoka Hoteli ya Mandalay Bay baada ya mshambuliaji kurusha risasi kwa wahudumu wa eneo la tamasha huko Las Vegas, Octoba 1, 2017
4
Watu wakiwa katika harakati za kutafuta hifadhi kwenye jengo liliokaribu na tamasha la muziki baada ya risasi kusikika zikirindima huko Las Vegas, Nevada.