Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 17:30

Zaid ya watu 58 wauliwa katika shambulizi la Las Vegas

Watu 58 wauwawa na zaidi ya 500 wajeruhiwa katika shambulizi la bunduki Jumapili huko Las Vegas, Marekani.

Las Vegas ni mji wa kitalii ulioko katika jimbo la Nevada, Marekani. Shambulizi hilo limetokea wakati wa tamasha la muziki katika hoteli ya Mandalay Bay Casino.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG