Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Machi 16, 2025 Local time: 18:28

Trump asema anakaribia kufikia makubaliano na Ukraine na Russia kumaliza vita


Trump asema anakaribia kufikia makubaliano na Ukraine na Russia kumaliza vita
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Rais Donald Trump anasema anakaribia kufikia makubaliano na Ukraine na Russia kumaliza vita Ukraine baada ya mkutano wa White House na kiongozi wa Ufaransa Emmanuel Macron.

Kundi la madaktari wasio na mipaka MSF limeacha kutoa huduma katika kambi ya Zam Zam nchini Sudan inayohifadhi wakimbizi waliokoseshwa makazi ndani ya nchi.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG