Msanii huyu ambaye ni mshiriki na mnufaika wa programu ya Mandela Washington Fellowship, YALI, akieleza jinsi anavyotumia sanaa hiyo kuelimisha vijana katika jamii katika mazingira ya Kiafrika kuwa na fikra chanya. Pia anaelezea changamoto ya fani hiyo na jinsi jamii inavyoweza kunufaika nayo.
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto