Utekelezaji wa makubaliano umeanza huko Syria siku ya Jumamozi lakini kumekuwepo na ripoti za mashambulizi ya hapa kwa pale.
Mashambuliyo yaripotiwa Syria licha ya makubaliano ya usitishaji mapigano

1
Mtu anakagua shati la kijana wake aliyeuliwa kutokana na shambulio la ndege katika mji unaoshikiliwa na waasi wa Damascus, Syria, Feb. 27, 2016.

2
Kijana akikagua nyumba iliyoharibiwa kwa shambullizi katika mji unaoshikiliwa na kiunga cha Douma, mjini Damascus, Syria, Feb. 27, 2016.

3
Lt.-Gen. Sergei Rudskoi afisa wa jeshi la Russia akizungumza na waandishi habari Moscow, Feb. 27, 2016.

4
Majumba yaliyo haribiwa na mabomu huko Homs, Syria, Feb. 26, 2016.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017