Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 28, 2025 Local time: 12:12

Sweden yaifunga Korea Kusini


Andreas Granqvist wa Sweden, kati, akisheherekea goli la penalty aliloshinda dhidi ya lango la Korea Kusini
Andreas Granqvist wa Sweden, kati, akisheherekea goli la penalty aliloshinda dhidi ya lango la Korea Kusini

Mechi ya Sweden na Korea Kusini katika kundi F imemalizika kwa ushindi wa Sweden wa bao 1-0. Bao hilo limefungwa dakika ya 65 na mchezaji Granqvist kwa mkwaju wa penalty.

Kufuatia ushindi huo, timu ya Sueden inachuka na fasi ya kwanza katika kundi F sawa na Mexico ambayo iliilaza jumapili Ujerumani kwa bao 1-0. Ujerumani na korea kusini hawajapata puenti hata moja.

Ujerumani ambao ni watetezi wa kombe la dunia la 2014 watakutana na Sueden jumamosi tarehe 23 juni katika mchezo wao wa pili ambao wanalazimika kushinda ili kua na fursa ya kuendelea kwenye mzunguko mwengine.

Tunisia, timu nyingine ya Afrika itamenyana na Uingereza katika kundi

XS
SM
MD
LG