Mjadala wa umiliki wa bunduki unaendelea Marekani wakati taifa hilo likiomboleza vifo vya watu 10 katika shambulizi la Jumamosi mchana mjini Buffalo, New York ambapo mtu menye bunduki alifyatua risasi katika duka la chakula lilioko katika makazi lenye wateja wengi watu weusi.