Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 10:33

Shambulizi katika shule ya msingi Uvalde, Texas

Kijana mwenye umri wa miaka 18 alishambulia kwa bunduki shule ya msingi ya Robb, mjini Uvalde, Texas na kusababisha vifo vya watoto 19 na walimu wawili.

Wamarekani wanapo omboleza vifo vya wanafunzi 19 wa shule ya msingi ya Robb mjini Uvalde, Texas, wabunge mjini Washington wanaendelea kujadili kwa hamasa suala la kupitisha sheria za kudhibiti umiliki wa bunduki.


Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG