Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 14:18

Serikali ya Nigeria yawakataza raia wake kujihusisha na vita vya Ukraine


Serikali ya Nigeria yawakataza raia wake kujihusisha na vita vya Ukraine
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:28 0:00

Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa haitaruhusu raia wake kujihusisha na vita vya Ukraine ambapo wanajeshi wa Russia wanaendelea kuishambulia nchi hiyo kwa mabomu na risasi.

XS
SM
MD
LG