Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 27, 2025 Local time: 23:42

Serikali ya Kenya yasema operesheni ya kuleta amani Haiti haitasitishwa


Serikali ya Kenya yasema operesheni ya kuleta amani Haiti haitasitishwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Serikali ya Kenya inasema operesheni ya kuleta amani Haiti inayoongozwa na kikosi cha polisi cha Kenya haitositishwa.

Kundi la M23 limeendelea na operesheni mashariki ya DRC.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG