Sama Lukonde asema serikali ya Tshisekedi inajitahidi kuleta usalama DRC
Akiandamana na viongozi mbalimbali kutoka mikoa miwili ya mashariki ya DRC, ikiwemo Ituri na Kivu kaskazini, Sama Lukonde aeleza kuwa serikali ya Rais Tshisekedi inajitahidi kuhakikisha usalama unarudi mashariki ya Congo, ambako kumeandamwa na makundi y waasi. Endelea kusikiliza ziara hii muhimu...
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC