Sama Lukonde asema serikali ya Tshisekedi inajitahidi kuleta usalama DRC
Akiandamana na viongozi mbalimbali kutoka mikoa miwili ya mashariki ya DRC, ikiwemo Ituri na Kivu kaskazini, Sama Lukonde aeleza kuwa serikali ya Rais Tshisekedi inajitahidi kuhakikisha usalama unarudi mashariki ya Congo, ambako kumeandamwa na makundi y waasi. Endelea kusikiliza ziara hii muhimu...
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.