Russia imesema alhamisi hakuna dalili za utayari kwa amani kutoka katika ziara ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy mjini Washington.
Hali ya maisha mashariki ya DRC inazidi kuwa ngumu kutokana na kundi la waasi wa M23 kufunga njia zote muhimu kupeleka bidhaa na chakula upande wa kaskazini wa Kivu Kaskazini...
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari