Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 19:03

Russia yasitisha usambazaji wa gesi Bulgaria na Poland


Russia yasitisha usambazaji wa gesi Bulgaria na Poland
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Russia imesistisha usambazaji wa gesi kwa Bulgaria na Poland Jumatano kwa kukataa kulipia gesi hiyo kwa fedha ya Russia ya Rouble ikilenga moja kwa moja uchumi wa Ulaya katika kulipiza kisasi kwa vikwazo vikali vya kimataifa kufuatia vita vya Ukraine.

- Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, imeanza kampeni ya chanjo ya Ebola kupambana na mlipuko wa ugonjwa huo kaskazini magharibi mwa mji wa Mbandaka, Shirika la Afya Duniani limesema.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG