Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 03:23

Russia yaendeleza mashambulizi mashariki mwa Ukraine


Russia yaendeleza mashambulizi mashariki mwa Ukraine
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Wanajeshi wa Russia wameendelea kuishambulia miji ya mashariki mwa Ukraine na kulenga maeneo mengine kwa makombora.

-Mapambano makali yaendelea kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 eneo la Kivu kaskazini.

- Wananchi wa Tanzania waitaka serikali kudhibiti mfumuko wa bei za bidhaa mbalimbali.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG