Rais wa Sudan Kusini alituma rasmi wanajeshi huko mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na kikosi cha kanda cha Afrika Mashariki kwa lengo la kumaliza miongo kadhaa ya umwagaji damu nchini humo. Je, ni zipi changamoto ambazo zinakabili kikosi cha Afrika Mashariki kinacholinda amani huko DRC. Ungana na mwandishi wetu akikuletea repoti kamili juu ya wasia wa Rais Kiir kwa jeshi lililotumwa huko DRC kukabiliana na uasi. Endelea kusikiliza...
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto