Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 14:54

Rais wa Sudan Kusini aliwasa jeshi kudumisha weledi wa hali ya juu


Rais wa Sudan Kusini aliwasa jeshi kudumisha weledi wa hali ya juu
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:25 0:00

Rais wa Sudan Kusini alituma rasmi wanajeshi huko mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na kikosi cha kanda cha Afrika Mashariki kwa lengo la kumaliza miongo kadhaa ya umwagaji damu nchini humo.

Rais wa Sudan Kusini alituma rasmi wanajeshi huko mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na kikosi cha kanda cha Afrika Mashariki kwa lengo la kumaliza miongo kadhaa ya umwagaji damu nchini humo. Je, ni zipi changamoto ambazo zinakabili kikosi cha Afrika Mashariki kinacholinda amani huko DRC. Ungana na mwandishi wetu akikuletea repoti kamili juu ya wasia wa Rais Kiir kwa jeshi lililotumwa huko DRC kukabiliana na uasi. Endelea kusikiliza...

XS
SM
MD
LG