Rais wa Sudan Kusini alituma rasmi wanajeshi huko mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na kikosi cha kanda cha Afrika Mashariki kwa lengo la kumaliza miongo kadhaa ya umwagaji damu nchini humo. Je, ni zipi changamoto ambazo zinakabili kikosi cha Afrika Mashariki kinacholinda amani huko DRC. Ungana na mwandishi wetu akikuletea repoti kamili juu ya wasia wa Rais Kiir kwa jeshi lililotumwa huko DRC kukabiliana na uasi. Endelea kusikiliza...
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC