Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Machi 16, 2025 Local time: 19:21

Rais wa Marekani anatarajiwa kulihutubia Bunge Jumanne


Rais wa Marekani anatarajiwa kulihutubia Bunge Jumanne
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Rais wa Marekani Donald Trump anatarajia kulihutubia Bunge kwa mara ya kwanza katika awamu yake ya pili madarakani siku ya Jumanne.

Mashambulizi ya kupitia angani nchini Sudan na hasa mkoa wa Darfur yameongezeka na kusababisha vifo vingi miongoni mwa raia.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG