Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 01:31

Rais wa Marekani ajadili uhamiaji na tatizo la dawa za kulevya alipokutana na Rais wa Mexico


Rais wa Marekani ajadili uhamiaji na tatizo la dawa za kulevya alipokutana na Rais wa Mexico
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais wa Marekani Joe Biden akutana na mwenzake wa Mexico Andres Manuel Lopez kujadili usalama wa kikanda, ushirikiano wa kiuchumi na biashara kati ya mambo mengine. Mkutano huo utashirikisha viongozi wa ngazi ya juu wa nchi hizo mbili kabla ya mkutano wa viongozi wa Amerika Kaskazini

- Dharuba yapiga California na kusababisha vifo zaidi ya watu kumi, umeme kukatika na maoni ya hali ya hewa kutolewa.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.

XS
SM
MD
LG