Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 05:13

Rais wa Malawi aeleza nchi yake ilivyoathiriwa na Kimbunga Freddy


Rais wa Malawi aeleza nchi yake ilivyoathiriwa na Kimbunga Freddy
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:56 0:00

Familia nchini Malawi zilifanya mazishi yenye hisia nzito siku ya Jumatano kuwakumbuka na kuwazika waathirika huku rais wa nchi hiyo akiitaka jumuiya ya kimataifa kusaidia. Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili ya janga hilo lililoletwa na Kimbunga Freddy.

XS
SM
MD
LG