Papa Francis atembelea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo akiwa na ujumbe wa amani.
- Abdushakur Aboud
Papa Francis aliwasili Kinshasa Jumanne Januari 31, na kutoa wito kwa Jumuia ya Kimataifa kutojihusisha ndani ya masuala ya Afrika, na kuwaachia waafrika watanzuwe matatizo yao wenyewe.
![Papa Francis awasalimu watoto alipokuwa anakutana na wajumbe wa mashirika ya hisani katika kanisa la Apostolic Nunciature mjini Kinshasa, DRC](https://gdb.voanews.com/daa127f5-d966-4726-86a9-7201bd941645_w1024_q10_s.jpg)
1
Papa Francis awasalimu watoto alipokuwa anakutana na wajumbe wa mashirika ya hisani katika kanisa la Apostolic Nunciature mjini Kinshasa, DRC
![Papa Francis anamuombea dua muathirika wa vita vya mashariki ya Congo.](https://gdb.voanews.com/94bb392c-4426-4a2b-9e44-8c86f38ef09b_w1024_q10_s.jpg)
2
Papa Francis anamuombea dua muathirika wa vita vya mashariki ya Congo.
![Papa Francis akiwa kwenye gari lake dogo akiwasili kwenye uwanja wa Ndolo ili kuongoza misa mjini Kinshasa.](https://gdb.voanews.com/a27acdb3-48b5-4356-81db-1a62661a9a00_w1024_q10_s.jpg)
3
Papa Francis akiwa kwenye gari lake dogo akiwasili kwenye uwanja wa Ndolo ili kuongoza misa mjini Kinshasa.
![Papa Francis aongoza misa iliyohudhuriwa na karibu watu milioni moja mjini Kinshasa, DRC](https://gdb.voanews.com/e423ba23-67ff-4c22-a181-749ec276f180_w1024_q10_s.jpg)
4
Papa Francis aongoza misa iliyohudhuriwa na karibu watu milioni moja mjini Kinshasa, DRC