Papa Francis atembelea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo akiwa na ujumbe wa amani.
- Abdushakur Aboud
Papa Francis aliwasili Kinshasa Jumanne Januari 31, na kutoa wito kwa Jumuia ya Kimataifa kutojihusisha ndani ya masuala ya Afrika, na kuwaachia waafrika watanzuwe matatizo yao wenyewe.
1
Papa Francis awasalimu watoto alipokuwa anakutana na wajumbe wa mashirika ya hisani katika kanisa la Apostolic Nunciature mjini Kinshasa, DRC
2
Papa Francis anamuombea dua muathirika wa vita vya mashariki ya Congo.
3
Papa Francis akiwa kwenye gari lake dogo akiwasili kwenye uwanja wa Ndolo ili kuongoza misa mjini Kinshasa.
4
Papa Francis aongoza misa iliyohudhuriwa na karibu watu milioni moja mjini Kinshasa, DRC