Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 13:36

Ongezeko la bei na gharama ya maisha yawaathiri wengi Marekani


Ongezeko la bei na gharama ya maisha yawaathiri wengi Marekani
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:40 0:00

Wamarekani wanaendelea kulalamikia ongezeko la bei za bidhaa na gharama ya maisha kwa ujumla huku Rais Biden akisisitiza kwamba hali hiyo imesababishwa na uvamizi wa Russia nchini Ukraine akiliita ongezeko hilo 'Putin Price Hike' (kichecheo cha bei kilicholetwa na Putin).

XS
SM
MD
LG