Wamarekani wanaendelea kulalamikia ongezeko la bei za bidhaa na gharama ya maisha kwa ujumla huku Rais Biden akisisitiza kwamba hali hiyo imesababishwa na uvamizi wa Russia nchini Ukraine akiliita ongezeko hilo 'Putin Price Hike' (kichecheo cha bei kilicholetwa na Putin).