Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Mei 02, 2024 Local time: 19:50

Nancy Karigithu mgombea wa kiti cha katibu mkuu wa shirika la UN la IMO kutoka Kenya


Nancy Karigithu mgombea wa kiti cha katibu mkuu wa shirika la UN la IMO kutoka Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:25 0:00

Ungana na mwandishi wetu mjini Nairobi, Kenya Hubbah Abdi akifanya mahojiano maalum na Mjumbe Maalum wa Uchumi wa Bahari Kenya akielezea changamoto za uchafuzi wa mazingira ambazo nchi zinatakiwa kukabiliana nazo kwa pamoja akieleza kuwa hilo ni tatizo la kimataifa.

Anazungumzia pia namna ya kupiga hatua katika kutumia teknolojia ya mpya kuimarisha utendaji wa kazi na kurahisisha ufanisi wa utekelezaji majukumu ambapo itawawezesha kina mama kushiriki kikamilifu. Endelea kusikiliza...

XS
SM
MD
LG