Mzigo wa magonjwa yanayochochewa na virusi barani Afrika.
Maambukizi ya virusi ni suala linaloleta wasiwasi duniani. Kulingana na ripoti za Shirika la Afya Duniani maambukizi yaliyopo kama vile COVID-19 yanaongezeka mara kwa mara huku kukiwa na changamoto zinazoendelea kama vile HIV na homa ya ini hasa katika nchi za kipato cha chini na cha kati.
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025
Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025
Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.
Forum