Olengurumwa alizungumza na mwandishi wa Sauti ya Amerika, Idd Ligongo ambaye yuko New York kufuatilia mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambao umeanza tarehe Septemba 19, 2023.
Tanzania: Mratibu wa Kitaifa wa haki za binadamu aeleza hatari za kupoteza umoja wa kitaifa
Matukio
-
Aprili 25, 2024
Asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono kuhalalishwa bhangi
-
Machi 26, 2024
Bobi Wine ang'aa kwenye jukwaa la kimataifa