Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 04:20
VOA Direct Packages

Morocco yailetea fahari Afrika na Mataifa ya Kiarabu


Morocco yailetea fahari Afrika na Mataifa ya Kiarabu
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:10 0:00

Morocco iliibuka kidedea kwa Afrika na kuleta Fahari kubwa miongoni mwa  mataifa ya Kiarabu baada ya kuongoza kundi lililokuwa na timu za Croatia, Ubelgiji na kuyaondoay mataifa mengine mawili yenye nguvu zaidi ulaya uhispania na ureno katika hatua ya mtoano, wachezaji wao waliwapa shida Wafaransa

Cha kusataajabisha bao la Theo Hernandez lilikuwa la kwanza kufungwa dhidi yao na mchezaji wa timu pinzani katika dimba hilo, endelea kusikiliza repoti hii maalum ya michuano hiyo ya Kombe la Dunia…

Makundi

XS
SM
MD
LG