Wahindu wamewasili kuhiji kwenye mto wa Ganges ambao ni mtakatifu kwao, wakiadhimisha kuanza kwa sherehe kubwa kabisa za kidini duniani. Sherehe za Kumbh Mela zinafanyika kila baada ya miaka 12 na takriban watu milioni 100 wanatarajiwa kusanyika huko katika siku 55 zijazo ili kukoga ndani ya mto Ganges..
Mamilioni ya mahujaji Wahindu wakoga kwenye mto Ganges
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017