Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 19:15

Miaka minane tangu utekaji nyara wa wasichana wa Chibok huko Nigeria


please wait

No media source currently available

0:00 0:02:23 0:00

April 14 imetimia miaka 8 tangu kundi la kigaidi la Boko Haram lilipofanya shambulizi mwaka 2014 kwenye shule ya sekondari ya wasichana huko Chibok katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa Nigeria na kuwateka nyara wasichana 276 waliokuwa wakifanya mitihani yao ya kumaliza shule

XS
SM
MD
LG