Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 21:54

Mdahalo wa Ugombea Urais wa mwisho Marekani


Mdahalo wa Ugombea Urais wa mwisho Marekani
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:19 0:00

Wamarekani wameridhika na namna mdahalo wa pili na wa mwisho kati ya Rais Donald Trump na mpinzani wake Joe Biden ulivyofanyika alhamisi usiku, lakini wachambuzi wanasema hawadhani mazungumzo hayo yameweza kubadili maoni ya wapiga kura.

XS
SM
MD
LG